top of page

Zitakuwa Nyota Tajini

Leo nina fikiria nchi nzuri Ninayotaka kuiona;

Nisimamapo karibu na Mwokozi, Tajini zitakuwa nyota?


Sijui tajini mwangu kama nyota

Zitang`aa kila wakati!

Nitakapoamka katika majumba

Zitakuwa nyota Tajini?


Kwa nguvu za Bwana nitafanya kazi, Nitavuta roho za watu,

Ili niwe na nyota katika taji, Bwana anapotupa tunu.


Nitakuwa na furaha nikimwona, Kuweka miguuni pake

Watu walio vutwa kwa ajili ya Kazi yangu na Roho yake.

3 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page