top of page

Yu hai, Yu hai

Yesu Bwana Mwokozi aishi milele,

Najua kwamba Yupo pamoja na mimi;

Sauti nasikia, Rehema naona;

Wakati namhitaji, yupo nami.


Yu hai, Yu hai,Yu hai Bwana Yesu!

Atembea, azungumza nami siku zote.

Yu hai, Yu hai, kutoa uzima!

Hivi ndivyo nijuavyo,

Yu hai ndani yangu!


[2]

Ulinzi Wake upo naona dhahiri,

Miguu ichokapo, sikati tamaa;

Najua an`ongoza kupota dhoruba,

Siku ya kuja kwake nitamwona.

0 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page