Yesu nina kuhitaji katika maisha yangu x2
Usiniache Mwokozi, ninavyo kukasirisha
Wewe ndiwe (peke) Bwana wangu x2
Nijalie kuwajua marafiki wa uongo x2
Nizijuwe hila zao, na udanganyifu wao
Yesu Bwana (wangu) niongoze x2
Ninaomba nifariji huzunini na magonjwa x2
Usiniache Mwokozi, katika taabu na kifo
Unishike (Bwana) mkono wangu x2
Mimi pekee sina nguvu za kushinda majaribu x2
Ndipo Bwana nakuita, Bwana wa wokovu wangu
Wewe ndiwe (Bwana) mponya wangu x2
Comments