A: Yesu Mwokozi, kwa damu yako umetukomboa sisi, twakuabudu. B: Yesu Mwokozi kwa mwili wako umetukomboa sisi, twakuabudu
Ladies: Pana mahali, pazuri sana, Baba akaapo na Bwana Yesu. Men: Nyimbo na ngoma za malaika hushangilia heri daima
Ladies:Hapa ni dhambi, shida na taabu, huko fahari, furaha tele.
Men: Hatustahili kufika huko, tu wakosaji, watu dhaifu.
Ladies: Akaja Yesu atufundishe, awe Mwokozi, atupe nguvu, Men: Alitufia msalabani, kastahimili mateso mengi
All: Alifufuka, kapaa mbinguni katangulia atuongoze.
Komentarze