Yesu Kristu ni mfalme- Ni mfalme wa wafalme, Ni Bwana wa mabwana Utawala wake si wa dunia hii (Dunia hii) Utawala wake ni wa Mbinguni
Utawala wake Yesu ungekuwa ni wa dunia hii (kweli) Hakika angekuwa na jeshi lake la kumlinda
Utawala wake Yesu ungekuwa ni dunia hii (kweli) Hakika angekuwa na serikali ya kuiongoza
tawala wake Yesu ungekuwa ni wa dunia hii (kweli) Kamwe asingekufa kwa ajili yetu sisi wanadamu
Comments