top of page

Yesu Furaha ya Moyo

Yesu, furaha ya moyo!Hazina ya pendo, na nuru.

Yote yatupendezayo, yasilinganishwe nawe.


Kweli yako ya daima, wawajibu wakuitao,

Ni siku zote u mwema kwao wakutafutao.


U Mkate wa uzima, kupokea ni baraka,

Twanywa kwako u kisima roho zikiburudika.


Mwokozi twakutamani, kwako roho hutulia;

Twakushika kwa imani, nawe watubariki.


Yesu, ndiwe kwetu mwanga, tufurahishe daima;

Giza ya dhambi fukuza uwe mwanga wa uzima.

0 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page