Yesu alia msalabani. Asikitika juu ya dhambi zetu Asulubiowa asiyekosa kwamba yeye ni mosaji Ee mwanadamu lipi ambalo linalonipasa kuwatendea Ambalo sikuwatendeeni, hata ikanipasa msalaba
Magonjwa yote aliyaponya, wafu nao aliwafufua Kundi la watu aliwaponya, lipi alilokosa
Watu wa Mungu Bwana alia asikitika juu ya dhambi zenu Asulubiwa asiyekosa kwamba ni mkosaji
Wana wa Mungu, Bwana alia, asema nyinyi mwamsulubisha, Msipobeba misalaba yenu kwani nyinyi m wakosaji
Tazama Bwana akulilia, akuita ndipo akuokoe Tazama haya mapenzi yake Bwana hayana mwisho
top of page
bottom of page
Comments