Yesu akalia kwa sauti kubwa, (Akasema), Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu) x2
Alipokwisha kusema hayo, akakata roho Yule akida alipoona hayo, akasema Huyo hakika alikuwa mwana wa Mungu
Na makutano yote ya watu, waloshuhudia Wakafadhaika wakaenda zao, wakiomba Wakapigapiga vifua kuomba toba
Na wote waliojuana naye, waloandamana Wakimfuata toka Galilaya, kwa pamoja, Wakasimama wakitazama mambo hayo.
Comments