Ye Taata, Oyo ye Taata…x2
Ye Taata wange omulungi Omutibwa x2
Ye Taata.
My Father, You are my Father…x2
You are my Lord you are My God
You are my King…x2 my Father.
Ee Baba, wewe ni Baba…x2 wewe ni
Baba, Baba yetu wa mbinguni x2
Kazaliwa maskini kwenye zizi Maria
akamfunika kwa nyasi kwa ‘jili yetu
alishuka kwenye cheo (Ee Baba) asante
sana ewe Yesu wa mbinguni Ee Baba.
Alishikwa, akapigwa, akateswa na mate
akatemewa Kwa uso kwa ‘jili yetu hivyo
vyote alikubali (Ee Baba) kwa ‘jili yetu
alidungwa, ili nipone Ee Baba.
Kafufuka akapaa juu mbinguni akatuma
Roho Mtakatifu kwetu atuwezesha
kusamehe na kumwabudu (Ee Baba
atuwezesha kuwa naye, maishani Ee Baba.
Comments