top of page

Ya Saba ni kwa Yesu!

Siku sita fanya kazi, Ya saba ni kwa Yesu.

Hapo tunapopumzika, kwani ni yake Yesu.


Moja, mbili, tatu, nne, tano, sita, zote kwetu;

Lakini tutakumbuka, Ya saba ni kwa Yesu!


Huonyesha ya kufanya, Kwa kuwa ni ya Yesu,

Na atuonyesha njia, tutamfuata Yesu.


[3]

Tuombe kila Sabato, Na kujifunza kwake;

Tutamtii daima, tutakaa na Yesu

0 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page