Wote wakajazwa, Roho Mtakatifu wakisema matendo makuu ya Mungu aleluya x2
Kama Roho Mtakatifu alivyowajalia, Petro akasema kwa sauti kubwa
Watu wa Uyahudi, na ninyi wote Jueni jambo hili mkasikilize
Tubuni kila mmoja mkabatizwe Nanyi mtapokea Roho Mtakatifu
Wengi walidhihaki na kusema wa-melewa kwa nyimbo mpya
Yesu huyo Mungu alimfuata na sisi sote tu mashahidi wake
Commentaires