Wastahili Bwana, wastahili Bwana,
ulikufa msalabani niokolewe
wastahili Bwana wastahili Bwana wastahili Bwana
Ulibeba mizigo yangu sasa ni huru wastahili Bwana
Uliacha utukufu wako, ukaishi kati yetu
kwa mapendo ulipatwa na simanzi, ulinifiya wastahili Yesu!
Uliwekwa kaburini Bwana, ukafufuka
wewe Bwana wangu ulipaa juu mbinguni na watawala, nakusifu yesu!
Comments