Walio kifoni, nenda waponye. Uwatoe walio shimoni;
Wanaoanguka uwainue; Habari njema uwajulishe.
Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko huwangojea
Wajapokawia anangojea Awasubiri waje tobani;
Mwokozi hawezi kuwadharau, Huwasame he tangu zamani:
Na ndani ya moyo wa wanadamu Huwapo shida, tena huzuni;
Lakini kwa Yesu kuna rehema Kuwaponya na kuwaokoa.
Walio kifoni, nenda waponye Kazi ni yetu, zawadi iko;
Nguvu kuhubiri Bwana hutoa Kwa subira tuwavute sasa.
Commentaires