top of page

Waponye Watu

Walio kifoni, nenda waponye. Uwatoe walio shimoni;

Wanaoanguka uwainue; Habari njema uwajulishe.


Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko huwangojea


Wajapokawia anangojea Awasubiri waje tobani;

Mwokozi hawezi kuwadharau, Huwasame he tangu zamani:


Na ndani ya moyo wa wanadamu Huwapo shida, tena huzuni;

Lakini kwa Yesu kuna rehema Kuwaponya na kuwaokoa.


Walio kifoni, nenda waponye Kazi ni yetu, zawadi iko;

Nguvu kuhubiri Bwana hutoa Kwa subira tuwavute sasa.

0 views0 comments

Commentaires

Noté 0 étoile sur 5.
Pas encore de note

Ajouter une note
bottom of page