Walinizunguka kama nyuki, (lakini) Lakini walizimika kama moto, kama moto wa miibani Walinizunguka kama nyuki, (adui) Lakini walizimika kama moto, kama moto wa miibani
Mataifa yote yalinizunguka mimi, kweli , walinizungunka mimi Kwa jina la bwana niliwapatilia mbali Wote walionisumbua
Kwani Bwana yuko upande wangu mimi anisaidia, sitaogopa Nanitawaona wanaonichukia hakika nitawaona wameshindwa
Heri yetu sote kumkimbila Bwana Mungu kuliko wanadamu Heri yetu sote kumkimbila Bwana kuliko kutumanina wakuu
Comments