Wakuabudiwa, wakuheshimiwa ni wewe
Mungu wakupewa sifa, na utukufu,
ni wewe Mungu Mungu mwenye nguvu,
wastahili heshima zote hakuna mwingine
wa kulinganishwa na wewe Mungu x2
Umesema wewe, jina lako liko liliko ni
we Mungu unafanya mambo yaliyo juu
ya fahamu zetu Mungu ukisema ndiyo,
nani awezaye kupinga? hakuna wewe
unatupa kushinda na zaidi ya kushinda
unatupandisha utukufu hadi utukufu x2
Uzima wetu uko mikononi mwako Mungu
unawapa nguvu, wanyonge na wadhaifu
Mungu unawanyeshea mvua wema
na waovu mungu wanadamu nani wa
kulinganishwa na wewe nani wenye nguvu
wa kusimama mbele yako Mungu x2
Opmerkingen