Wachungaji wakaenda kwa haraka wakamkuta Maria na Yosefu (na yule) Mtoto mchanga amelala amelala horini
Malaika akawaambi, ninyi, msiogope nawaletea habari njema
Ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote Mwokozi wenu amezaliwa
Katika mji wa Daudi, leo, amezaliwa Mwokozi ndiye Kristu Bwana
Comentários