Waamini wa Bwana karibuni mezani (njoni) pake,Bwana awaalika enyi wenye moyo safi. X2
Amewaandalia (leo) karamu takatifu (njoni) mwili na damu yake, chakula safi cha roho x2
Kwanza tujitakase, nafsi zetu wenyewe, tukisha kutakata, tujongee meza yake.
Karibuni mezani, Bwana awaalika, kwenye karamu yake, enyi wenye moyo safi.
Na tule mwili wake, na tunywe damu yake, ndicho chakula bora, cha rohoni karibuni
Commenti