top of page

Waamini wa Bwana



Waamini wa Bwana karibuni mezani (njoni) pake,Bwana awaalika enyi wenye moyo safi. X2

Amewaandalia (leo) karamu takatifu (njoni) mwili na damu yake, chakula safi cha roho x2


Kwanza tujitakase, nafsi zetu wenyewe, tukisha kutakata, tujongee meza yake.


Karibuni mezani, Bwana awaalika, kwenye karamu yake, enyi wenye moyo safi.


Na tule mwili wake, na tunywe damu yake, ndicho chakula bora, cha rohoni karibuni

13 views0 comments

Commenti

Valutazione 0 stelle su 5.
Non ci sono ancora valutazioni

Aggiungi una valutazione
bottom of page