Vumilia roho yangu,
Majaribu ni kama moto,
yanayochoma imani yangu,
Bwana naomba unisaidie
Siku za Bwana ni nyakati hizi,
wenye imani wameshakuwa imani yao
ijaribiwe, Bwana naomba unisaidie
Shetani naye amekazana,
kuharibu waliojenga lakini Bwana
ninakuomba, Bwana naomba unisaidie
Nataka kwako, Shetani hapana,
ndani yangu niwe salama Yesu nifiche
nisionekane, Bwana naomba unisaidie
Comments