top of page

Utujie Masiya wetu

  1. Bwana huwafanyia hukumu walioonewa- Masiya wetu

  2. Huwapa wenye njaa chakula ….

  3. Bwana huwafungua waliofungwa….

  4. Huwafumbua macho waliopofuka….

  5. Bwana huwainua walioinama

  6. Bwana huwahifadhi wageni…

  7. Huwategemeza yatima ma mjane….

  8. Bwana huwapenda wanyofu

  9. Bwana atamiliki milele….

0 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page