Bwana huwafanyia hukumu walioonewa- Masiya wetu
Huwapa wenye njaa chakula ….
Bwana huwafungua waliofungwa….
Huwafumbua macho waliopofuka….
Bwana huwainua walioinama
Bwana huwahifadhi wageni…
Huwategemeza yatima ma mjane….
Bwana huwapenda wanyofu
Bwana atamiliki milele….
top of page
bottom of page
Comments