Utujie, Masiya wetu
Wakungojao hawatafadhaika…. Masiya wetu
Unayeketi juu ya kerubimi… Masiya wetu
Amsha uwezo wako, uje … Masiya wetu
Dondokeni enyi mbingu toka juu.. Masiya wetu
Na mawingu yamshushe mwenye haki.Masiya wetu
Nchi na ifunuke na kumzaa Mkombozi Masiya wetu.
Comments