Usiikatae kazi yake Bwana; Ukae tayari kuifanya kazi;
Uende po pote Mungu akwitapo,
Nawe utaona furaha kazini
Njoo, We! Usikatae; Njoo, We! Uifanye kazi;
Usiikatae kazi yake Bwana, Ili hatimaye usikatazwe juu.
Usiikatae kazi yake Bwana; Kwa nini kawia? Fanya kazi leo.
Mavuno meuoe, Wachache wavuni,
Onyesha furaha Kwa kazi ya Bwana.
Usiikatae kazi yake Bwana; Kukataa pendo Kwako ni hatari.
Saa ya rehema, Yesu akiomba,
Ziungame dhambi, Zifutwe mbinguni.
Comments