top of page

Usiikatae Kazi Yake Bwana

Usiikatae kazi yake Bwana; Ukae tayari kuifanya kazi;

Uende po pote Mungu akwitapo,

Nawe utaona furaha kazini


Njoo, We! Usikatae; Njoo, We! Uifanye kazi;

Usiikatae kazi yake Bwana, Ili hatimaye usikatazwe juu.


Usiikatae kazi yake Bwana; Kwa nini kawia? Fanya kazi leo.

Mavuno meuoe, Wachache wavuni,

Onyesha furaha Kwa kazi ya Bwana.


Usiikatae kazi yake Bwana; Kukataa pendo Kwako ni hatari.

Saa ya rehema, Yesu akiomba,

Ziungame dhambi, Zifutwe mbinguni.

0 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page