Hakuna rafiki kama Yesu, Hakuna, hakuna!
Tabibu mwingine wa rohoni, Hakuna, hakuna!
Yesu ajua shida zetu; Daima ataongoza
Hakuna rafiki kama Yesu, Hakuna, hakuna!
Wakati ambapo hapo yeye, Hapana, hapana!
Wala giza kututenga naye, Hapana, hapana!
Aliye sahauliwa naye, Hakuna, hakuna!
Mkosaji asiyempenda, Hakuna, hakuna!
Kipawa kama Mwokozi wetu, Hakuna, hakuna!
Ambaye atanyimwa wokovu, Hakuna, hakuna!
Commenti