top of page

Urafiki wa Yesu

Hakuna rafiki kama Yesu, Hakuna, hakuna!

Tabibu mwingine wa rohoni, Hakuna, hakuna!


Yesu ajua shida zetu; Daima ataongoza

Hakuna rafiki kama Yesu, Hakuna, hakuna!


Wakati ambapo hapo yeye, Hapana, hapana!

Wala giza kututenga naye, Hapana, hapana!


Aliye sahauliwa naye, Hakuna, hakuna!

Mkosaji asiyempenda, Hakuna, hakuna!


Kipawa kama Mwokozi wetu, Hakuna, hakuna!

Ambaye atanyimwa wokovu, Hakuna, hakuna!

1 view0 comments

Commenti

Valutazione 0 stelle su 5.
Non ci sono ancora valutazioni

Aggiungi una valutazione
bottom of page