Upokee - Ee Baba,
Upokee - sadaka,
Upokee- mali yako tunayokutolea x2
Mkate na divai, mwili na damu yako, kwa heshima kuu sadaka tumtolee.
Mazao ya mashamba, kazi ya mikono yetu, Baba pokea vipaji vya wanao.
Fedha za mifukoni, zote ni mali yako, uvipokee vipaji vya wanao.
Na nyoyo zetu Baba, zote ni mali yako, kwa heshima kuu sadaka tumtolee.
Furaha na uchungu, vyote ni mali yako, Baba pokea vipaji vya wanao.
댓글