1.Damu iliyomwagika msalabani pa Mwanao na,wamwagayo mashahidi popote duniani,iungane na sala yangu.
Unisikie (Bwana ni) nasema nawe (njoo) uyachukue niliyobeba moyoni mwangu (Bwana) x2
2.Yajazayo moyo wangu, yalowanisha macho yangu na yaniganisha ulimi yanifumba kinywa, yatetemesha mwili wangu.
3.Nami nakushukuru, maana unasikia, Bwana nakutukuza,kwakuwa unanijibu
コメント