top of page

Unisikie

1.Damu iliyomwagika msalabani pa Mwanao na,wamwagayo mashahidi popote duniani,iungane na sala yangu.

Unisikie (Bwana ni) nasema nawe (njoo) uyachukue niliyobeba moyoni mwangu (Bwana) x2

2.Yajazayo moyo wangu, yalowanisha macho yangu na yaniganisha ulimi yanifumba kinywa, yatetemesha mwili wangu.

3.Nami nakushukuru, maana unasikia, Bwana nakutukuza,kwakuwa unanijibu

0 views0 comments

コメント

5つ星のうち0と評価されています。
まだ評価がありません

評価を追加
bottom of page