Uninyunyizie maji Bwana nitakase (Bwana)x2
Ee Bwana wangu ,Bwana wangu, nijalie uzima mpya kwa maji haya nitakase.
1. Maji ya ubatizo ,-yaoshe dhambi zangu zotex2
2. Nguo yangu nyeupe –Ni ishara ya moyo wangu x2
3. Nipe mwanga huu- Nitembee katika nuru.x2
Comments