top of page

Uniangalie

Uniangalie atwambia, Yesu aliyetufia;

Msalabani ni uzima, Hapa utaipata hazina.


Kutazama Kalvari, Kutazama Kalvari,

Ni kupewa kuishi Kuutazama mti wa Kalvari.


Ninapojaribiwa ghafula, Shetani hatanitega;

Nikitazama msalaba, Nguvu nitaipata kwa Bwana.


Msalaba nitautazama Kila wakati daima,

Ahadi nitategemea, Hivi kabisa sitaanguka

2 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page