top of page

Umsihi Mwanao Yesu



Umsihi mwanao Yesu, Maria, asamehe makosa yangu

Anitoe mashaka yote, Maria, yaliyomo moyoni mwangu


1. Maria unisaidie Maria, Maria uniokoe, Mimi mwanao mwenye dhambi


2. Nionee huruma mama, mimi niliye mpotevu,Mwili wangu ni dhaifu, kwa sababu ya dhambi zangu


3. Na magonjwa niponye mama, kwa jina la mwanao Yesu, Naye Roho mtakatifu, imarishe nguvu zangu

41 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page