Uipokee sadaka, Ee Bwana Mungu tusikie, Bwana uipokee kwa wema, Ee Bwana Munguu wetu x2
1. Twakutolea sadaka ya ibada yetu, ikupendeza zitupatie wokovu. 2. Ee Bwana usikiliza sala zetu, tunazokutolea Bwana Mungu wetu. 3. Ututakase kwa nguvu ya sadaka hii, natupate maondoleo ya dhambi zetu. 4. Ni nani aliye Mungu ila wewe Bwana, na utukuzwe Mungu wa wokovu wetu
Comments