Ufalme wa Mungu umekuwa kama yule Aliyewaita watumwa wake Akampa moja talanta tano na mwingine talanta mbili na wa mwisho talanta
Talanta yako ndugu yangu uitumie kwa wote x2
Usipoitumikia, utakuja kuangamia Yule wa kwanza akaongeza talanta tano na wa pili akaongeza ingine mbili, aliyepokea talanta moja alimjia Bwana wake na ile ile talanta
Talanta ya Bwana ndugu yangu talanta ya Mungu uliyopewa uifanyie kazi, usiifunike talanta yako uifiche mwisho utakuja kuangamia
コメント