U msaidizi wakati wa raha, u msaidizi wakati wa shida x 2.
1. Ee Bwana / toka vilindini / nimekulilia / Bwana / usikie / sauti yangu.
2. Masikio / yako / yaielekee /yaielekee / sauti / ya ombi langu.
3. Ee Bwana / ikiwa utaku-/ mbuka maovu / Ee Bwana / ni nani / atakayesimama?
4. Walakini huruma / hupatikana / kwako, ee Bwana Upate / kutumukiwa / kwa uchaji.
5. Bwana atakuwa / ngome kwake / aliyeonewa / naam / ngome / kwa nyakati za shida.
6. Nao wajuao / jina lako / wakutamani wewe / maana wewe, Bwana / hukuwaacha / wakutafutao.
Comments