Tumwangalie Mkombozi,
akitundikwa masalabani; tutatambua
upenzi, aliotupenda moyoni
Twimbe, twimbe, jamani:
Salaam Yesu msalabani! x2
Msalabani sio mtiwe, tunaotoka
kuheshimu; ila ni Yesu mwenyewe, kwa
binadamu mwaga damu
Tuusifu sana mti huu, Yesu akauchagua;
kwa mapendo yake makuu deni zetu
kuzilipia.
Kwa stahimilize msalaba, twapata
msamaha wa dhambi; ni Yesu mwenye
kumuomba, Babaye Mungu wetu Rabi.
Msalaba kwa zake nguvu, Uwingu
wafunguliwa; yakoma enzi ya mwovu,
na utumwa waondolewa.
Comments