Twendeni wote x2,
tumwabudu Bwana (kwa furaha), twendeni wote x2
tumwabudu Bwana
1. Bwana ni mtawala, amevaa utukufu-
2. Mbingu zifurahi, dunia ishangilie-
3. Mashuhuda yake yanastahili imani-
4. Anatutawala kwa haki na uamini
5. Tumpigie shangwe mwamba wa wokovu wetu-
6. Njoni tumsujudu yeye aliyetuumba-
7. Kwa nyimbo za sifa tujongee uso wake-
8. Enyi waadili, tukuzeni jina lake-
Comments