Twendeni wote, twendeni wote, tumwabudu Bwana ( kwa furaha) x2
Bwana ni mtawala, amevaa utukufu -
Mbingu zifurahi, dunia ishangilie –
Mashuhuda yake, yanastahili imani –
Anatutawala kwa haki na uamini –
Tumpigie shangwe mwamba wa wokovu wetu –
Njoni tumsujudu yeyé aliyetuumba
Kwa nyimbo za sifa tujongee uso wake
Enyi waadili, tukuzeni jina lake -
Comments