1. (Karibuni kwa karamu) – Asema Yesu Mwana wake Mungu, (tubuni mjitakase), twendeni kwa karamu yake Bwana x 2
Twendeni – Twende kwa karamu
Tukale – mwili wake Bwana
Tukanywe – Damu takatifu
Tupate – kujaliwa mema
Twende – Twendeni
Twende – Twendeni, twende, twende
(Twende kwa karamu, twende kwake Bwana x 2)
2. (Atakaye nipokea)- asema Yesu Mwanga wa dunia, (uzima ataupata) – ataishi milele na milele x 2
3. (Chochote tunachotenda) – cha hitaji mwangaza wake Yesu, (pasipo wake mwangaza) – maisha yetu hayana msingi
4. (Yeyote aniombae) – asema Yesu Mkombozi wetu, (nitamwombea kwa Baba) – ili ahadi yangu itimizwe x 2
Comments