Twende sote tupeleke zawadi zetu, ni vipaji ambavyo Bwana katujalia x2
Mkate na divai twaja navyo Bwana, ni kiini cha ngano na tunda la mzabibu
Fedha toka mifuko twaja nazo Bwana, ni vipaji tulopta kwa jasho letu x2
Nafaka na mifugo twaja nazo Bwana, ni mazao ya mashamba ulotujalia x2
top of page
bottom of page
Comentários