Twapanda mapema na mchana kutwa
Mbegu za fadhili hata jioni
Twangojea sasa siku za kuvuna;
Tutashangilia wenye mavuno.
Wenye mavuno wenye mavuno,
Tutasha ngilia wenye mavuno;
Wenye mavuno wenye mavuno,
Tutasha ngilia wenye mavuno.
Twapanda mwangani na kwenye kivuli
Tusishindwe na baridi na pepo
Punde itaisha kazi yetu hapa
Tutashangilia wenye mavuno.
Twapana kwa Bwana mbegu kila siku.
Tujapoona taabu nahuzuni;
Tuishapo shinda atatupokea:
Tutashangilia wenye mavuno.
Comentários