top of page

Twaomba Baraka Zako

Twaomba, Bwana, umpokee Kama mhudumu;

Ambaye anjitoa Kuwa mtumishi.


Twaomba, Bwana, umpokee Kama mhudumu;

Neno lako alitoe, Mwangaza kung`aa.


Mwokozi wetu, twaomba, na umwandikie

Kitabuni mwako juu Mjumbe wa injili.


Silaha zake apewe Kumshinda adui;

Vitabuni awe hohari, Mpaka mauti.


[5]

Yeye ashindaye, Bwana, Kwa rehema yako,

Ile taji ya dhahabu, Nawe utampa

0 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page