Twaomba, Bwana, umpokee Kama mhudumu;
Ambaye anjitoa Kuwa mtumishi.
Twaomba, Bwana, umpokee Kama mhudumu;
Neno lako alitoe, Mwangaza kung`aa.
Mwokozi wetu, twaomba, na umwandikie
Kitabuni mwako juu Mjumbe wa injili.
Silaha zake apewe Kumshinda adui;
Vitabuni awe hohari, Mpaka mauti.
[5]
Yeye ashindaye, Bwana, Kwa rehema yako,
Ile taji ya dhahabu, Nawe utampa
Comments