Twamsifu Mungu, Mwana wa upendo
Aliyetufia na kupaa juu.
Aleluya! Usifiwe, Aleluya! Amin;
Aleluya! Usifiwe, utabariki.
Twamsifu Mungu, Roho mtakatifu,
Akatufunulia Mwokozi wetu.
Twamsifu Mwana, aliyetufia
Ametukomboa na kutuongoza.
Twamsifu Mungu wa neema yote
Aliyetwaa dhambi, akazifuta.
[5]
Twamshe tena, tujaze na pendo.
Moyoni uwashe moto wa Roho.
Comentários