Twaja mbele zako, Ee Bwana na sadaka zetu twaleta, tunakutolea Twakuomba upokee x2
Twakutolea sadaka zetu ee Bwana twaomba upokee.
Kwa moyo safi twakutolea, twaomba upokee ee Baba
Mazao yetu uyapokee, twakupa kwa moyo wa mapendo.
Mkate na divai twakupa, pokea ni jasho letu Bwana.
Comments