top of page

Twaeni Mle Wote

Twaeni mle wote – huu ndio mwili wangu, twaeni munywe wote – hii ndio damu yangu. (Fanyeni hivi, kwa kunikumbuka mimi x 2).

1. Yesu alitwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa wafuasi wake akisema:-

2. Yesu alitwaa kikombe, akashukuru, twaeni munywe wote, hiki ni kikombe cha damu yangu.

3. Huu ndio mwili wangu, twaeni mle wote akawapa, fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi

9 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page