top of page

Tutakaa Mahali pa Maji

Mahali pa maji mazuri maji ya uzima;

Anapotungoja Yesu tutakaribishwa.


Mahali pa maji mazuri, penye maji ya uzima;

Tutakaa na Mwokozi, chemchemi ya uzima.


Tunapochoka safarini, tamu kupumzika.

Panapo maji ya uzima yatufurahisha.


Una kiu? Uje kwa Yesu, utaburudishwa;

Yesu yu maji ya uzima, unywe,uokoke.

4 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page