AnonymousTunyunyizie MajITunyunyizie maji, ee Bwana ututakase dhambi zetuNami nitawapa ninyi, moyo mpyaNami nitatoa, moyo wenu wa jiweNami nitawapa, moyo wa nyamaNitatia roho yangu, ndani yenuNitawaendesha, katika sheria zanguNanyi mtakuwa, watu wangu
Tunyunyizie maji, ee Bwana ututakase dhambi zetuNami nitawapa ninyi, moyo mpyaNami nitatoa, moyo wenu wa jiweNami nitawapa, moyo wa nyamaNitatia roho yangu, ndani yenuNitawaendesha, katika sheria zanguNanyi mtakuwa, watu wangu
Comments