Tunakuja na vipaji vyetu, mbele zako ee Bwana, tunatoa shukurani zetu, kwako Baba Muumba x2
Ni matunda ya mashamba yetu, uliyotujalia, ndilo jasho letu sisi Bwana,twakuomba pokea x2
Watumishi wako tunakuja, na zawadi kidogo, twakusihi sanaMungu Baba, pokea mikononi x2
Nafsi zetu zote mali yako, utupokee sisi, Ee Bwana utujalie afya, uzima na Baraka x2
top of page
bottom of page
Comments