Tumshukuru Bwana, Mungu wetu, kwa maana yeye ndiye mwema.
Katika mashaka nimekaa / ameniokoa Bwana.
Bwana ni msaidizi wangu / wala siogopi tena
Nimemkimbilia Bwana / yeye ndiye mwaminifu.
Mkono wake wa kuume / umeniinua kweli.
Hayo yametendwa na Bwana / nayo ni miujiza kwetu.
Hii ndiyo kweli sikukuu / aliyofanya Bwana.
Wewe ndiwe Mungu wangu/ nami nitakushukuru.
Ninaikutuza, ee Mungu / milele huruma yako.
Comments