Tumepewa Mtoto Tumepewa mtoto mwanaume x2 Na uwezo wa kifalme utakuwa begani mwake x2 Naye ataitwa jina lake Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu Baba wa milele, Mfalme wa amani x2
Maombezi na enzi yake na amani Hayatakuwa na mwisho kamwe
Katika kiti cha enzi cha Daudi Na ufalme wake milele
Kuthibitisha na kutegemeza Kwa hukumu na haki
Tangu sasa na hata milele wingu wa Bwana wa Majeshi, ndio utakaotenda hayo
Comments