(Tumeingia) x2
Nyumbani mwa Bwana-aa
Tushangilie tumwabudu x2
1. Kwa nyoyo safi nazo tumwende ee - Tushangilie tumwabudu
2. Ni shangwe kubwa na sifa kwa Bwana aa - Tushangilie tumwabudu
3. Imbeni nyimbo nazo kwa furaha-aa - Tushangilie tumwabudu
4. Ni Bwana Yesu ametualika-aa - Tushangilie tumwabudu
Comments