Tumaini letu ni kwa Bwana,Kwa maana ana uwezo wa milele x2
1. Tutamsifu Bwana siku zote-Kwa maana ana uwezo wa milele.
2. Yeye ndiye mwanzo wa uzima-
3. Yeye ndiye aliyetuumba-
4. Vitu vyote vimeumbwa naye-
5. Yeye ndiye kiongozi wetu-
6. Tumwabudu, tumsifu daima-
7. Sifa na uwezo viwe kwake-
8. Nguvu na ulinzi ni kwa Bwana-
9. Uzima na wokovu ni kwake-
10. Atukuzwe katika Utatu-
11. Kama mwanzo, sasa na daima.
Comments