Hymsco LibraryTukaye TayariTukaye tayari kulipokea neno litokalo kwa Bwana1. Neno lake Bwana ni kuu, linao uzima wa milele2. Neno hilo latufundisha, njia ya kuweza kuokoka.3. Ni neno la kweli daima, litusaidialo maishani.4. Tulisikie kwa makini, tukalitangaze mahali pote.
Tukaye tayari kulipokea neno litokalo kwa Bwana1. Neno lake Bwana ni kuu, linao uzima wa milele2. Neno hilo latufundisha, njia ya kuweza kuokoka.3. Ni neno la kweli daima, litusaidialo maishani.4. Tulisikie kwa makini, tukalitangaze mahali pote.
コメント