top of page

Tukaye Tayari


Tukaye tayari kulipokea neno litokalo kwa Bwana

1. Neno lake Bwana ni kuu, linao uzima wa milele

2. Neno hilo latufundisha, njia ya kuweza kuokoka.

3. Ni neno la kweli daima, litusaidialo maishani.

4. Tulisikie kwa makini, tukalitangaze mahali pote.


0 views0 comments

コメント

5つ星のうち0と評価されています。
まだ評価がありません

評価を追加
bottom of page