1. Tuingie sote tuingie kwa furaha- Nyumbani
Ni nyumba ya sala tuingie kwa furaha- Nyumbani
SoteTuingie sote ee nyumbani mwa Bwana nyumba takatifu, twende tumwabudu x2
2. Na vijana wote tuingie kwa furaha- Nyumbani
Tumeona nyota tuingie kwa furaha- Nyumbani
3. Wenye dhambi wote tuingie kwa furaha- Nyumbani
Tumesamehewa tuingie kwa furaha- Nyumbani
4. Tukamsujudu tuingie kwa furaha- Nyumbani
Tumwabudu wote tuingie kwa furaha- Nyumbani
Comentarios