Tuingie nyumbani ya Baba Mungu tumwabudu Bwana (Mungu).
Tuingie nyumbani ya Bwana tukamwabudu x2
Kwa nyimbo na vigelegele tukamwabudu, furaha pia na kucheza tumshangilie.
Kwa ngoma pia na vinanda tumwadhimishe, Matara pia na kinubi tumsherekee.
Kwa kuwa ndiye Mungu wetu na muumba wetu, na sisi ni kondoo wa malisho yake.
Comentarios